Skip to content
GEA

Governance

Katiba ya GEA / Constitution

Placeholder — rasmi itachapishwa baada ya kuidhinishwa

Kifungu cha 1 — Jina

Chama kinaitwa Chama Cha Wahitimu Wajasiriamali Tanzania (Graduate Entrepreneurs Association — GEA), chama cha kitaifa chenye makao nchini Tanzania.

Kifungu cha 2 — Madhumuni

Kuunganisha, kuwezesha, na kuwakilisha wahitimu wajasiriamali; kukuza biashara endelevu; na kujenga mtandao wa kitaifa wa fursa, mafunzo, na uongozi.

Kifungu cha 3 — Uanachama

Uanachama unapatikana kwa maombi, ukaguzi, na kuidhinishwa kwa mujibu wa sera za GEA. Namba ya uanachama ni ya kitaifa na ya kudumu. Ada na muda wa uanachama huwekwa na bodi/usimamizi.

Kifungu cha 4 — Muundo

GEA inaendesha miundo ya kitaifa na ya kieneo (mkoa → wilaya → kata/chapter). Pilot ya Phase 1 inaanzia Iringa kabla ya upanuzi wa kitaifa.

Note

This page is a temporary public placeholder. The full constitution will replace this content once formally adopted and published by GEA leadership.